Tuesday, 22 October 2019
Mbeya watekeleza agizo la Rais Magufuli
Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imetekeleza agizo la Rais John Magufuli kuhamishia makao makuu ya wilaya hiyo katika Kijiji cha Inyala kutoka Mbeya mjini.
Oktoba 7 mwaka huu akiwa mkoani Rukwa, Rais Magufuli aliziagiza halmashauri zote zenye ofisi zake mijini kuhamia vijijini ili kusogeza karibu huduma kwa wananchi wa maeneo hayo.


No comments:
Post a Comment