AZAM FC KUMKOSA DUBE - KABATA

This is the special room for news where you need to settle with!

Friday, 10 September 2021

AZAM FC KUMKOSA DUBE

 


 AZAM FC kesho ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Horseed FC itamkosa Prince Dube ambaye ni majeruhi.

Nyota huyo kwa sasa yupo nchini Afrika Kusini ambapo amefanyiwa upasuaji.

Uongozi wa Azam FC umeweka wazi kuwa maendeleo ya nyota huyo kwa sasa yanaendelea vizuri.

Dumbe ambaye msimu uliopita alitupia mabao 14 na kutoa pasi tano za mabao atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki sita.
10Sep2021

No comments:

Post a Comment