Waziri
wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage akimsikiliza
mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Christopher Ole Sendeka alipomtembelea
ofisini kwake kupata taarifa ya Viwanda na uwekezaji katika mkoa huo,
leo tarehe 1 Machi, 2018.
Waziri
wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage akizungumza
jambo na Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bibi. Ruth Blasio Msafiri walipofika
ofisi za SIDO Mkoa wa Njombe kuona utendaji wake.
Waziri
wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage akikagua eneo
litakalojengwa majengo makubwa kwa ajili ya wajasiriamali na
wafanyabiashara wadogo, Mkoani Njombe leo tarehe 1 Machi, 2018.
Waziri
wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage, akimsikiliza
meneja wa Wakala wa Vipimo Mkoa wa Njombe kuhusu utaratibu wanaotumia
katika kupima mizigo ya wakulima na wafanyabiashara mkoani Njombe.
Muonekano
wa Kiwanda cha kuchakata Chai cha Unilever kilichopo mkoani Njombe
ambacho kipo katika hatua za mwisho kukamilika kwa ujenzi wake.
Waziri
wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage akikagua uenzi
wa kiwanda cha Chai cha Unilever, Mkoani Njombe leo tarehe 1 Machi,
2018.
Wadau
na wafanyabiashara wa Mkoa wa Njombe waliokusanyika kumsikiliza Waziri
wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage (Hayupo pichani)
na baadae kuuliza maswali kutokana na changamoto wanazokutana nazo na
kupatiwa majibu.

No comments:
Post a Comment