Mkuu wa Mkoa wa Simiyu akutana na uongozi wa juu wa NBC jijini Dar - KABATA

This is the special room for news where you need to settle with!

Saturday, 21 April 2018

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu akutana na uongozi wa juu wa NBC jijini Dar

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka (kushoto), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi (kulia), wakati alipotembelea ofisi za makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni.  Wa pili kushoto ni Mkurugenzi wa Wateja BInafsi wa nbc, Filbert Mponzi. 
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka (kushoto), akimsikiliza  Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa NBC, Filbert Mponzi wakati alipotembelea ofisi za makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni.  
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka (kulia), akimsikiliza  Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi (kushoto), wakati Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa benki hiyo, Filbert Mponzi akiangalia  wakati alipotembelea ofisi za makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment