BREAKING: Basi la Abood lapinduka - KABATA

This is the special room for news where you need to settle with!

Wednesday, 30 October 2019

BREAKING: Basi la Abood lapinduka


Basi la Abood linalofanya safari zake kati ya Dar na Morogoro, limepata ajali baada ya kupinduka katika njia ya mchepuko maeneo ya Kimara Temboni, asubuhi ya leo, Oktoba 30, 2019

Chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika na madhara kwa abiria waliokuwemo ndani ya basi, bado hayajajulikana.

No comments:

Post a Comment