Mara nyingi wafugaji wengi wamekuwa wakilalamika ya kwamba kuku wao wamekuwa hawatagi, na wengi wao wamekuwa hawajui sababu ni hizi ndizo sababu.
Kuku hupunguza utagaji na hata kuacha kutaga kabisa iwapo:-
Hawakupewa chakula bora au cha kutosha.
Hawapewi maji safi ya kutosha.
Wamebanana, yaani hawakai kwa raha.
Vyombo vya maji au chakula havitoshi.
Mwanga hautoshi.
Majogoo yamezidi katika chumba(weka jogoo 1 kwa mitetea 10)
Kuku wanaumwa.
Wana vidusa vya nje na ndani (external and internal parasite).
Wamezeeka (umri zaidi ya miaka miwili na nusu).
Maumbile ya kuku mwenyewe.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.

No comments:
Post a Comment