Mwigizaji Kajala na mwanae waja na kipindi cha TV - KABATA

This is the special room for news where you need to settle with!

Thursday, 10 June 2021

Mwigizaji Kajala na mwanae waja na kipindi cha TV

 


Mwigizaji Kajala Masanja na Mwanae Paula wanatarajia kuja na kipindi cha Tv (Reality TV Show) yao itakayoitwa ‘Mom & Daughter, Like Twins’ na itakuwa ni mfululizo (series) wenye mkusanyiko wa matukio mbalimbali ya nyuma ya pazia katika shughuli zao za kila siku.


Kajala na Paula wame-share habari hizi njema kupitia kurasa zao za instagram kwa ku-post cover za ujio huo huku wakiacha ujumbe unaosema; 'Mom & Daughter "like twins" lifestyle reality show coming soon on your tv'.


Bado hawajaweka wazi ni kituo gani cha Tv ambacho kitarusha Reality show yao ya ‘Mom & Daughter, Like Twins’

No comments:

Post a Comment