Rais Samia: Lukuvi na kabudi ninakazi nao - KABATA

This is the special room for news where you need to settle with!


Breaking

Monday, 10 January 2022

Rais Samia: Lukuvi na kabudi ninakazi nao


Rais samia amesema ana kazi ya kufanya na Mbunge William Lukuvi.


”Nina kaka zangu wawili, William Lukuvi na Kabudi, ukiwatazama hawa age yao kama yangu na ukitizama niliowateua hamfanani kabisa, kwa hiyo kaka zangu wawili hawa nimewavuta waje kwangu, ili waje wanisimamie kuwasimamia nyie.” Rais Samia Suluhu Hassan

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here