Shule nchini Uganda zimefunguliwa kikamilifu asubuhi ya leo, karibu miaka miwili baada ya janga la coronavirus kuanza.
Kufungwa kwa shule nchini humo ni mojawapo ya kulikochukua muda mrefu zaidi ulimwenguni tangu virusi hivyo vililazimishe serikali kufunga taasisi za masomo mnamo Machi 2020.
Hizi hapa ni baadhi ya picha za siku ya kwanza shuleni zilizopigwa na mwandishi wa BBC Patience Atuhaire mjini Kampala:
No comments:
Post a Comment