Mvuvi alivyojaribu kuwaokoa marubani wa ndege iliyopata ajali - KABATA

This is the special room for news where you need to settle with!


Breaking

Monday, 7 November 2022

Mvuvi alivyojaribu kuwaokoa marubani wa ndege iliyopata ajali

 Mvuvi ambaye alikuwa mmoja wa watoa huduma wa kwanza katika eneo la ajali ya ndege iliyoua watu 19 katika Ziwa Victoria nchini Tanzania, ameeleza jinsi alivyojaribu kuwaokoa marubani waliokuwa wamekwama kwenye chumba cha rubani na jinsi alivyokaribia kupoteza maisha.

Akihojiwa akiwa hospitalini kwake katika mji wa Bukoba,Majaliwa Jackson alisema aliingiwa na hofu baada ya kuona ndege hiyo ya abiria ikija kutoka upande usiofaa, kabla ya kutumbukia Ziwa Victoria.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here