Ulimwengu amfuata Samatta Genk - KABATA

This is the special room for news where you need to settle with!


Breaking

Wednesday 15 November 2017

Ulimwengu amfuata Samatta Genk

Ulimwengu amfuata Samatta Genk
Mshambuliaji Mtanzania, Thomas Ulimwengu ameondoka katika klabu yake ya AFC ya nchini Sweden na kwenda Ubelgiji ambako sasa anafanya mazoezi na kikosi cha KRC Genk.
KRC Genk ndiyo klabu anayoichezea Mtanzania mwingine Mbwana Samatta.


Ulimwengu ambaye ni majeruhi wa goti, ameamua kufanya mazoezi huku akipata matibabu chini ya wataalamu wa klabu ya Genk ambao sasa wanafanya kazi ya kumtibu Samatta ambaye siku chache zilizopita amefanyiwa upasuaji.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here