Mchezaji wa pili kufunga 'hat-trick' Ligi Kuu msimu huu, huyu hapa - KABATA

This is the special room for news where you need to settle with!


Breaking

Wednesday, 6 November 2019

Mchezaji wa pili kufunga 'hat-trick' Ligi Kuu msimu huu, huyu hapa



Mchezaji wa Lipuli FC Daruwesh Saliboko ni mchezaji wa pili kufunga 'hat-trick' msimu huu baada ya Ditram Nchimbi.

Pichani Saliboko yuko na mpira wake baada ya mechi ya leo alipofunga matatu katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Singida United. Mabao mengine mawili yamefungwa na Paul Nonga.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here