Mtibwa Sugar sasa kutumia uwanja wa CCM Gairo - KABATA

This is the special room for news where you need to settle with!


Breaking

Tuesday, 5 November 2019

Mtibwa Sugar sasa kutumia uwanja wa CCM Gairo



Mtibwa Sugar wataanza kuutumia uwanja wa CCM Gairo uliopo Morogoro kama uwanja wao wa nyumbani kwenye mechi za Ligi kuu Tanzania Bara

Mchezo wa kwanza katika uwanja huo, Mtibwa wanatarajia watacheza dhidi ya Mwadui FC, Mchezo huu utachezwa majira ya saa 10 jioni.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here