SMZ yaiomba UNICEF kufanya utafiti wa utapiamlo kwa Watoto - KABATA

This is the special room for news where you need to settle with!


Breaking

Tuesday, 5 November 2019

SMZ yaiomba UNICEF kufanya utafiti wa utapiamlo kwa Watoto





Waziri Hamad alisema maeneo yaliyoathirika zaidi na tatizo hilo ni Wilaya Micheweni kwa upnde wa Pemba na Mkoa wa Kaskazini Unguja ni maeneo ambayo yameonekana kutokea kwa vifo vingi vya kinamama na watoto.

Nae Mwakilishi Mkazi Bi Maha Damaj  Shirika lake litalishughulikia suala na kufanya utafiti na  kuhakikisha kwamba wanalipatia ufumbuzi na kujua sababu ya tatizo hilo katika maeneo hayo.

Aidha alisema kuwa yupo tayari kuitangaza Zanzibar na kuifanya kuwa ni kituo cha elimu ya malaria kutokana na mafanikio makubwa ya kutokomeza maradhi hayo kwa asilimia 0.2 jambo ambalo ni faraja kubwa duniani.

Hata hivyo Muwakilishi huyo alisema kuwa shirika lake litatoa vifaa vya kina mama na watoto katika vituo vya afya 36 vya Unguja na Pemba.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here