CHEKI UZI MPYA WA AZAM FC MSIMU WA 2021/22 - KABATA

This is the special room for news where you need to settle with!

Wednesday, 8 September 2021

CHEKI UZI MPYA WA AZAM FC MSIMU WA 2021/22

 


 AZAM FC wazee wa kimyakimya kwa msimu wa 2021/22 sio wanyonge kwenye upande wa uzi mpya nao wanatamba kwa uzi wao ambao kwa sasa upo madukani ukipatikana kwa mashabiki wanaohitaji uzi matata.

Tayari kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina kimerejea Bongo kwa ajili ya maandalizi ya mechi zao zijazo.

Huu hapa muonekano wa uzi wao mpya msimu wa 2021/22


08Sep2021

No comments:

Post a Comment