aadhi ya picha zaa matukio mbalimbali katika mchezo wa Mbao FC dhidi ya Yanga, mchezo uliomalizika yanga wakishinda kwa bao 1-0 katika dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza. Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea leo kwenye viwanja viwili kati ya Mbao FC dhidi ya Yanga na JKT Tanzania dhidi ya KMC FC, na haya ndio matokeo ya michezo hiyo.
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
No comments:
Post a Comment